Kama kumbu kumbu zangu zipo sahihi, matokeo ya utafiti yalikuwa yanasema kwamba asilimia 70 kati ya wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia walihojiwa na asilimia 23 walikiri kuwa na wameoa na wanafamilia pia.. Hakuwezi kuwa na 70% ya wanaume wa tanzania wanashiriki mapenzi na wanaume wenzao.
Kusoma matokea ya utafiti ni taaluma pia