habari wapendwa!
kutokana na kwamba baadhi ya skukuu kubwa husherekewa kwa pamoja kitaifa na kimataifa!
Maana nasikiaga tetesi Zanzibar wao huwa wanakula idd siku 5 je tunatofautiana nao namna ya kusherekea kitaifa?
2. siku za kitaifa zina mipaka kati ya bara na visiwani?
Pia naomba kufahamisha ikiwa bara tuna Sheikh Mkuu ambaye ndiye msemaji Mkuu wa waisilam Tanzania;
3. Swali: Shekhe Mkuu huyu anahusika hadi Zanzibar au ukuu wake haufiki visiwani?
4. Bakwata inawahusu wazanzibari au kule napo ipo Bakwaza?
5. Je; Zanzibar nayo ina sheikh Mkuu wake?
Ikiwa Rais wa Zanzibar kipindi cha mfungo alisikika akipiga marufuku watu kula hadharani;
6. je; Rais Alizungumza kwa niaba ya serikali au kwa niaba ya imani ya dini ya kiislam kama sheikh? Aliyekaidi angeshitakiwa na jamhuri au kadhi?
Naombeni majibu wadau
CC; kipozeo
kutokana na kwamba baadhi ya skukuu kubwa husherekewa kwa pamoja kitaifa na kimataifa!
- Naomba kufahamishwa hapa Tanzania kama Taifa idadi sahihi ya siku za mapumziko ya skukuu ya idd ni 2 au 5?
Maana nasikiaga tetesi Zanzibar wao huwa wanakula idd siku 5 je tunatofautiana nao namna ya kusherekea kitaifa?
2. siku za kitaifa zina mipaka kati ya bara na visiwani?
Pia naomba kufahamisha ikiwa bara tuna Sheikh Mkuu ambaye ndiye msemaji Mkuu wa waisilam Tanzania;
3. Swali: Shekhe Mkuu huyu anahusika hadi Zanzibar au ukuu wake haufiki visiwani?
4. Bakwata inawahusu wazanzibari au kule napo ipo Bakwaza?
5. Je; Zanzibar nayo ina sheikh Mkuu wake?
Ikiwa Rais wa Zanzibar kipindi cha mfungo alisikika akipiga marufuku watu kula hadharani;
6. je; Rais Alizungumza kwa niaba ya serikali au kwa niaba ya imani ya dini ya kiislam kama sheikh? Aliyekaidi angeshitakiwa na jamhuri au kadhi?
Naombeni majibu wadau
CC; kipozeo