BIN BOR
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,013
- 407
Naomba iwekwe hapa orodha ya madiwani, wale wa kuchaguliwa na viti maalumu jijini Arusha. Na wanaoingia katika baraza kwa tiketi za ubunge. Idadi ya madiwani na uwiano wao kwa kila chama. Lengo ni 'forecast' ya mshindi wa umeya kama taratibu zote zikifuatwa. Asanteni waungwana.