Subiri uitwe kwenye usaili acha mchecheto kijana nyie ndo huwa mnakuja kutusumbua eti mbona interview lini mbn sijapata taarifa🤣Wakuu kwa wale tuliioba nafasi za kazi kwa ICT OFFICER II (COMPUTER SYSTEM ADMINISTRATION) ya TRA ,tupeane Nondo .
1. Maswali ya kusoma
2. Pepa huwa zinakuwaje .
Karibuni
programming unajua?Wakuu kwa wale tuliioba nafasi za kazi kwa ICT OFFICER II (COMPUTER SYSTEM ADMINISTRATION) ya TRA ,tupeane Nondo .
1. Maswali ya kusoma
2. Pepa huwa zinakuwaje .
Karibuni
Kaa kwa kutulia mtiani ni wakawaida kujumlisha na kutoaNajua mkuu
Endelea kumpoteza. Akifika pale duce mchujo wa kwanza atajua hajuiKaa kwa kutulia mtiani ni wakawaida kujumlisha na kutoa
Duce tena ??? upo Outdated
Mitihani ya programming ni kuandika program za kujumlisha, kutoa, kugawanywa na kuzidishEndelea kumpoteza. Akifika pale duce mchujo wa kwanza atajua hajui
Jiandae na anything about database mfano ni MySQL queries, namna ya kulog in kwenye servers jumlisha knowledge yako ya programming...inshallah utafanikiwaWakuu kwa wale tuliioba nafasi za kazi kwa ICT OFFICER II (COMPUTER SYSTEM ADMINISTRATION) ya TRA ,tupeane Nondo .
1. Maswali ya kusoma
2. Pepa huwa zinakuwaje .
Karibuni
kama itakuwa tofauti ni prove wrong kunapepa moja ilikuwa na maswaliok kalale ukue. so childish!
Mara nyingi hizo pepa huwa zinatungwa na wahadhiri wa chuo .ok kalale ukue. so childish!
Kama unaenda kwa interview na hiyo mindset huto make it even mchujo wa kwanzaMitihani ya programming ni kuandika program za kujumlisha, kutoa, kugawanywa na kuzidish
siruhusiwi kuiipost tu.
Mkuu i was making an intelligent guess. Unaweza kupata hint za swali lako from the job description iliyotangazwa. Ukiisoma vizuri utaelewa maswali yanaweza kutoka wapi.Asante Sana. System administrator kunakuwa na maswali ya programming mkuu?
Mchujo wa kwanza unalengo la kupunnguza wengiKama unaenda kwa interview na hiyo mindset huto make it even mchujo wa kwanza