icloud unlock for iphones


Hapo unakua umejifurahisha ujafungua nikimanisha huwezi kupiga sim na hata ukiweza toa activation lock inakua ipod
 
Wazoefu wa iphone naomba msaada. Kuna Iphone 4s ina mfuniko wa nyuma umevunjikavunjika. Simu hii ukiiwasha ina search network hadi chaji inaisha (haisomi mtandao) pia hii iphone 4s ina sehemu ya kuweka memory card. Je hii simu ni orijino? Je mfuniko wa nyuma una uhusiano na network?
 
Weng wana bypass hata hapa Kariakoooo wapo kibao
 
Hiyo siyo yenyewe bro.
 

Miezi kama 8 hivi kuna jamaa humu alinitolea icloud kwenye ipad mini yangu. Mimi nipo nje ya nchi na jamaa yupo Dar. Tulikubaliana ataondoa icloud lock kwa kumpa serial no iliyopo nyuma ya ipad. Sikumlipa pesa yake mpaka nilipohakikisha ipad ipo unlocked na hadi muda huu bado naitumia.
 

Lazma kuna details kama email ako ulimpa au email iliokua locked kwa icloud na useme ilkua na iOs gan.?
 
Lazma kuna details kama email ako ulimpa au email iliokua locked kwa icloud na useme ilkua na iOs gan.?

Sikumpa details zangu zozote apart from ile serial no iliyopo nyuma ya ipad. Ipad nilinunua sunday market na owner ali report lost mara tu baada ya kuunganisha na wifi. Ilikuwa ios 9 ambapo ni ya mwisho huwezi ku update zaidi ya hapo kwa hizi ipad mini first generation. Ila sina hakika kama unaweza kufungua iPhone yoyote yenye icloud.
 
Watu ni ubishi tu! Icloud inaondolewa vizuri sana!
 
Mkuu umerudi! Mm naomba unijibu tu swali moja umewezaje ku"unlock" iphone 6s na ukashindwa iphone 6.
Hilo tu mkuu naomba unijibu.
Zote nazifungua! Sometimes nyingine zinachukua muda mfupi nyingine nashindwa naiweka pembeni naendelea na nyingine alafu nairudia mpaka inakubali
 
Zote nazifungua! Sometimes nyingine zinachukua muda mfupi nyingine nashindwa naiweka pembeni naendelea na nyingine alafu nairudia mpaka inakubali
Lakini katika maelezo yako ya mwanzo umesema iphone 6 na 7 zimekushinda ila umeweza iphone 6s! Sasa nikashangaa inawezekaneje ku"unlock" iphone 6s na iphone 6 ikushinde ili hali 6s ni bora zaidi kuliko 6?!
 
Bro naomba adreess yake nna simu nimesahau details zake please.
 
Mkuu msaada apa
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…