Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kesi ya Uhuru, Ruto, Sang na Muthaura zimeamuliwa kuendelea na hakuna sababu ya kukwamishwa na rufaa zao wahusika.......................nionavyo nchi za magharibi zinataka kushinikiza Raila kuwa Raisi wa Kenya...................I see the Obama hand in this..............