Sijawahi kuwa na mawazo ya kuwategemea ICC au mtu mwingine yeyote toka nje ya Tanzania kuja kufumbua matatizo tuliyonayo hapa.Sasa umeanza kunielewa!! Nashukuru unatumia akili yako positively
Samia mhalifu atashukuru sana wakija; kwa sababu hiyo ndiyo matumaini pekee yatakayompa fursa ya kununua muda.Kwanini waje tarehe 10/April? Waje hata kesho tu
Wako njiani wanatumia usafiri wa PundaNaona kimya as if nothing had happened in TANGANYIKA
Yaani ICC waje wamshtaki Rais na wasidizi wake (JWTZ & TANPOL), waliozima machafuko ya uharibifu wa mali, wizi, uchomaji moto mali kwa ufanisi wa hali ya juu ndani ya masaa 12??? Hakuna ICC ya hivyoNaona kimya as if nothing had happened in TANGANYIKA
Story za vijiweni wakati wa kunywa kahawa, hakuna kesi itakayomkabili SSH na serikali anayoiongoza.Unafikiri kwa nini wanashindwa kutoa report yao? Mashaka makubwa ni hii kitu kwa sababu ICC inataka kujua kwanza efforts za ndani zimefanya nini na kama hatua zinaendana na tukio lenyewe! Wanapambana kuipika kwa kuwa ndio itaactivate hatua zaidi kimataifa either positive au negative, so wanasoma na kuirudiarudia kila wakicheck wanaona mamaduro anasongeshwa so wanarudia kuipika tena na tena ili wamuokoe. Huo muda unaoongezwa mara kwa mara ni kwa ajili ya kuedit ila ndo moja haikai na mbili haikai
Kifupi dunia nzima imekaa macho kusubiri huu mzigo!
Mkuu kuna vituo vya mwendokasi vilichomwa tarehe 29 October havijaanza kazi mpaka leo, kuanzia pale Morocco kuelekea Kivukoni hakuna usafiri huo kwa sababu vijana walichoma moto na wakaiba maduka ya watu.Samia mhalifu atashukuru sana wakija; kwa sababu hiyo ndiyo matumaini pekee yatakayompa fursa ya kununua muda.
Hawa tunaoongea nao humu wengi ni mawakala wa taasisi za kizungu, walitaka baada ya ushenzi ule mitaani serikali iwaruhusu waende mpaka ikulu wakachukue nchi kirahisi tu!!.Hivi nyie watu wengine ni mafala ee?!! Au chuki kwa Samia na mapenzi kwa lissu yanawafanya muwe vipofu?!!! Hivi maangamizi Yale ya vituo vya polisi na polisi wenyewe, Mali za watu, taasisi za serikali, kujeruhi/kuua watu wasiokuwa wafuasi wa chama flani, kuharibu Mali za watu wasiokuwa wafuasi wa chama flani yangezuiwa vp?!! Wasn't that an act of war?!!!! Baada ya masaa saba, nani angethubutu kumkamata yeyote maana nchi ingekuwa yote inawaka moto.
Au, type mbinu mkuu za kukabiliana na Hali kama ile yenye kuleta matokeo unayoyasema.
Nani alipanga mapinduzi?Story za vijiweni wakati wa kunywa kahawa, hakuna kesi itakayomkabili SSH na serikali anayoiongoza.
Serikali ilizima shambulizi la mapinduzi yaliyopangwa kwa njia ya kuleta machafuko.
Hakuna shambulizi haramu linaloweza kuzimwa kwa wahusika kupewa mashada ya maua.
Ili kiongozi aweze kupelekwa ICC kwanza kinachoangaliwa ni nani aliyeanzisha hizo vurugu, iwepo intention ya kufanyika kwa hayo mauaji kwa asilimia 100.ICC huwa inataka kuona kwanza sheria za ndani ya nchi na kuwajibishana kama kumefanyika so hawa jamaa wanajaribu kutumia nafasi hiyo ndo mana danadana nyingi! Ila uzuri ICC wana kila details so wanataka kwanza kuona nini kimefanywa ndani na kama haki imetendeka.
Kwa sasa hivi hawawezi kufanya lolote kwa kuwa team mamaduro itasema tushaanza kuchukua hatua kwa kuunda tume ya uchunguzi so ICC wanafungwa mikono kwamba wamewahi sana! Ni kama mahakama inavyotoa ofa ya usuluhishi kwanza
Wanajijua wenyewe, kuna uhusika wa majirani zetu wa kaskazini walioshirikiana na watanzania walioamua kutusaliti.Nani alipanga mapinduzi?
Ni huyu lisu anayetuhumiwa uhaini? Au TEC kupitia kitima ambao wanaogopwa kupewa kesi ya uhaini?
Tundu, Kitima, Gwajima, Heche, Maria Sarungi, Mange KimambiNani alipanga mapinduzi?
Ni huyu lisu anayetuhumiwa uhaini? Au TEC kupitia kitima ambao wanaogopwa kupewa kesi ya uhaini?
Amiri Jeshi huwa na sababu za msingi za kuamuru matumizi ya risasi, hakurupuki tu.Amirijeshi mkuu ndio mtuhumiwa wa kwanza kwa sababu hamna askari anapaswa kutumia silaha kuua bila amri ya amirijeshi mkuu so huenda anaogopa wengine wote watageuka kuwa mashahidi ndo maana anapika report! Ndio maana jeshi haliingii kwenye vita bila kwanza amri ya Rais akitoa tu anakua katoa amri ya kuua by implication. Technically ukihusisha jeshi kwenye operation yoyote maana yake umetoa amri ya kuua, polisi hawaruhusiwi kuua na wote wanaoua ukiwashtaki watawajibika tu kama kungekuwa na mahakama za haki
Wewe ni nguruwe tu unayewaza masalia pekee toka kwa Samia; kiasi kwamba hutaki kujuwa huyo huyo mfigaji wako ndiye mhusika wa matokeo yote hayo unayoyataja wewe.Mkuu kuna vituo vya mwendokasi vilichomwa tarehe 29 October havijaanza kazi mpaka leo, kuanzia pale Morocco kuelekea Kivukoni hakuna usafiri huo kwa sababu vijana walichoma moto na wakaiba maduka ya watu.
Ulitaka wachukuliwe kiungwana wakati wao walishatanguliza vitendo vya kihuni?.
ICC siyo ya baba yako wala haitoki kijijini kwenu NangurukuruWewe ni nguruwe tu unayewaza masalia pekee toka kwa Samia; kiasi kwamba hutaki kujuwa huyo huyo mfigaji wako ndiye mhusika wa matokeo yote hayo unayoyataja wewe.
Hakuna namna nyingine, ni lazima mhalifu Samia awajibike kwa maovu yote anayoyafanya.
Katika mambo waliyonayo baadhi ya watz wenzetu ni kuamini matatizo ya kisiasa yatapata ufumbuzi kutoka kwa wazungu.Naona kimya as if nothing had happened in TANGANYIKA
Tanzania haina uhitaji wa ICC. Ungekuwa na akili unglilia sana hiyo ICC ije kumwokoa mwovu Samia kuliko yatakayompata katika mikono ya waTanzania wenyewe.ICC siyo ya baba yako wala haitoki kijijini kwenu Nangurukuru
Dua la kuku hiloTanzania haina uhitaji wa ICC. Ungekuwa na akili unglilia sana hiyo ICC ije kumwokoa mwovu Samia kuliko yatakayompata katika mikono ya waTanzania wenyewe.
Hiyo mipasho haitamsaidia chochote huyo mhalifu Samia.Dua la kuku hilo
Wanakera kweli wajinga hawa!Hawa tunaoongea nao humu wengi ni mawakala wa taasisi za kizungu, walitaka baada ya ushenzi ule mitaani serikali iwaruhusu waende mpaka ikulu wakachukue nchi kirahisi tu!!.
Hawawezi tena kurudia kufanya ule ujinga.