ICC-ICA Rules zinaruhusu review ya tuzo na mchakato?

Unless ukithibitisha kuwa Richmond na Dowans walichange hands kabla ya Tanesco kuarifiwa, then kwa kukitumia kipengele hicho pekee, kingeweza kuufanya mkataba kuwa void, only if Tanesco angetaka kuuvunja, as long as Tanesco hakuwahi kutaka kuuvunja kwa sababu hiyo, lakini baadaye akauvunja kwa sababu nyingine, kwa sasa hawezi tena kutaka kurudi nyuma kuwa mkataba ule sio halali.


Sijui niseme vipi.. TANESCO ALIFICHWA NA RICHMOND NA DOWANS juu ya kupeana mkataba kwao. Tanesco asingeweza kuvunja mkataba kwa kipengele hicho kwani haikujua kuwa tayari mkataba umeahulishwa. Mimi ndio ninaripoti na kuhusisha yote mawili sasa. Hata kina Mwakyembe muda wote wa uchunguzi hawakujua mkataba ulikuwa tayari umekabidhiwa; hata ICC haikuambiwa kuwa mkataba wanaozungumzia uhalali wake siyo ule wa Disemba 23, 2006 ambao Tanesco iliridhia (in good faith) bali ule ulioipa nguvu Dowans kuchukua mkataba wa Richmond uliofanywa kwa siri kabla Tanesco hawajataarifa. Hivi nazungumza lugha ngumu sana hapa jamani?
 
Sijui niseme vipi.. TANESCO ALIFICHWA NA RICHMOND NA DOWANS juu ya kupeana mkataba kwao. Tanesco asingeweza kuvunja mkataba kwa kipengele hicho kwani haikujua kuwa tayari mkataba umeahulishwa. Mimi ndio ninaripoti na kuhusisha yote mawili sasa. Hata kina Mwakyembe muda wote wa uchunguzi hawakujua mkataba ulikuwa tayari umekabidhiwa; hata ICC haikuambiwa kuwa mkataba wanaozungumzia uhalali wake siyo ule wa Disemba 23, 2006 ambao Tanesco iliridhia (in good faith) bali ule ulioipa nguvu Dowans kuchukua mkataba wa Richmond uliofanywa kwa siri kabla Tanesco hawajataarifa. Hivi nazungumza lugha ngumu sana hapa jamani?

jaribu kuwasiliana na Mwakyembe ili huu ufumbuzi wako ufanyiwe kazi!
 
At least sasa tuna sababu nzuri ya kuhoji, tena kwa nguvu. O.K kumbe ni wahujumu uchumi!! Tuwashitaki kwa sheria hiyo
ili tuone kama hizo fedha hazitataifishwa kwa sababu hiyo.Ktk historia, wanyonge wanao onewa huwa hawanyamazi na kuota ndoto kwamba mambo yatabadilika yenyewe.Hata majambazi yenye silaha yakivamia mahali kitu wasichokitaka ni kelele.Wanaziogopa kuliko. Pasco,tunyamaze tu tulale chini, tuwaache wapore nchi!Taifa hili limejengwa kwa misingi wa mwasisi wa Taifa hili.Tulikuwa maskini sana lakini jeuri yetu iliyatisha hata mabw
ana wakubwa wakati ule.Pasco we are not a nation of docile, useless people.Siyo urithi wa kuwaachia vijana
wetu.Tuwafundishe kusema hapana.
Tukatae kwa maneno hata kwa vitendo na kwa mawazo yetu tukatae.Tukikataa namna hiyo historia lazima itawahukumu siku moja[/B][/B].
Ikibidi nguvu ya umma itumike kuwaadabisha.
 
Back
Top Bottom