JAMII-ASM
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,305
- 524
Noooo...Yule wa Lowassa anaitwa Hawa Sinare....Huyu ni Shose Sinare, ambaye amewahi kuwa Miss Tanzania..Kwanza pesa akina Shose walizokusanya sio USD 6m bali ni USD 600m. Na walizikabidhi serikalini ambapo waziri wa fedha kipindi hicho aliyezipokea ni Mgimwa...Pesa zilikabidhiwa kwa serikali ya JK ila njia ambayo serikali ilitumia kutafuta pesa kwenye masoko ya hisa kupitia hiyo bank ndio iliyokua haramu...
Pitia uzi huu kwa habari yenyewe,...
http://michuzijr.blogspot.com/2013/04/stanbic-bank-and-tanzania-in-usd600m.html
Nimeiona hii ngoma imeelezwa vizuri hapa
British court approves landmark plea deal over Standard Bank bribery | 4-Traders