Ibranation, huyu msanii mwenye uwezo mzuri sana wa kuimba

Mmea Jr

JF-Expert Member
May 20, 2016
550
1,221
beeff4e81ceef61a569d6e206456ca4c.jpg


Nimekuwa nikimfutialia sana msanii huyu na kugundua kuwa ni miongoni mwa wasanii wenye kipaji kikubwa sana cha kuimba na kama ataendelea kufanya hivi basi hapo baadae huenda akaja kuwa miongoni mwa wasanii wa bongofleva wakubwa sana hapa tanzania.

Hizi ni miongoni mwa nyimbo za msanii huyu nilizotokea kuzipenda sana na kunifanya niwenamfuatilia kwa karibu sana.

1)ibra nation ft maua sama -hello(Adele reggae cover)

2)ibra nation -nilipize(nyimbo iliyomtambulisha vizuri sana katika game na kusumbua kwenye vituo mbalimbali vya redio)

3)ibra nation x maua sama-sukari guru(nyimbo Mpya) nyimbo iliyonifanya nimkubali huyu msanii kwa asilimia mia
 
Tatizo Ibranation hamjajua toka zamani mnamjua leo hii baada ya ngoma ya nilipize tuu. Ibranation aliitwaga Ibra kuna ngoma aliitengeneza kwa Producer Ambangile Mbwanji(kama sijakosea jina) maarufu kama prod. Amba Sijui yuko wapi kwa sasa. Alitoa ngoma inaitwa Wanifaa bonge la ngoma na zinginezo lkn nasikia maelewano hayakwenda poa na Amba ndio akaja Dar kusaka kivyake. So tufuatilie historia yake vzr. Jamaa anajua kuimba so siri
 
Tatizo Ibranation hamjajua toka zamani mnamjua leo hii baada ya ngoma ya nilipize tuu. Ibranation aliitwaga Ibra kuna ngoma aliitengeneza kwa Producer Ambangile Mbwanji(kama sijakosea jina) maarufu kama prod. Amba Sijui yuko wapi kwa sasa. Alitoa ngoma inaitwa Wanifaa bonge la ngoma na zinginezo lkn nasikia maelewano hayakwenda poa na Amba ndio akaja Dar kusaka kivyake. So tufuatilie historia yake vzr. Jamaa anajua kuimba so siri
Asante kwa kuongezea machache juu ya huyu kijana,kwa kweli anaonekana ni kijana mwenye kujituma sana katika kazi zake
 
Back
Top Bottom