Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
BOSI WA WATZ YEYE ALIAMUA NJI HII IWE YA AMANI ANGEAMUA VINGINEVYO SAHIZI INGEKUWA NI MAPANGA NSHAAAA HANA MIIHEMKO WALA MATAMKO............Hata Lowassa mlimtukana weee, lakini hivi sasa ni boss wenu na mmeufyata
Chunga kauli zako.
Ha ha ha.
Utajijusamahanini waungwana lini mikutano ya kisiasa imeruhusiwa,
Nahisi 93% ni wakareketwa wa UVCCM.Kiukweli mambo yake safi, naona mahudhurio mazuri.
Pasco
Prof Lipumba labda anafanya utafiti lakini pale anapo jihusisha na kufungua account mpya ya CUF hapo nimemuwekea alama ya ? Watanzania wengi tunaopenda kufuatilia siasa za Tanzania tuna mshangaa sana msomi huyu ambaye hatunzi kauli zake hivi hao wanao muunga mkono ni kwa lipi (Prof Limpumba does not keep his words as a public figure)
Tena safi sana, mahudhurio ya tena ya kishindo, nilifikiri anaehutubia ni Mwenyekiti wa chama tawala.Lipumba ni Nyati aliojeruhiwa. Sijui wameamkiana vipi.........chali......kifo cha mende!Kiukweli mambo yake safi, naona mahudhurio mazuri.
Pasco
Kwani msikitini hapo useme wameenda kupata hotba ?Hao walioudhuria wangekua cuf kweli,baragashia zingekua nyingi sana umo ndani,uchache wa baragashia unadhihirisha kwamba walioudhuria wengi ni ccm.