Una ushahid na unacho kisema???Hela alizopewa na maccm zina kipengele cha kujiabisha kisiasa mpaka adhalilike na kudharauliwa ndiyo ataachwa azitumie kwa uhuru, usicheze na hela za bure wewe
Mbona hao waliohudhuria wengi ni wana CCM?
Huyu anawafuasi
Nyie Vibendera wa CDM Cuf haina Mungu mtu
Kama CDM
Fanya yako lipumba
Wachana na hawa wavuta bangi