Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,473
- 151,581
Hajui kuna watu wanaona kusafiri ni usumbufu tu?Mwamba mfanyabiashara maarufu Tanzania wa mtandanaoni Ibrahim Chenza the king of Oviedo kajiposti kwenye ukurasa wake wa Facebook akituringishia mihuri na visa kadhaa kwenye passport yake.
Video hiyo inamuonesha kakaa kwenye waiting lounge uwanja wa ndege huku akifungua kila kurasa za passport kwa madaha.
Dogo adriz ana passport lakini hajawahi kusafiri hata nje ya Dar.
Hongera zake.
View attachment 3597073
adriz de mbusii