Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,009
- 103,392
Nimeamini kwanini mambo mengi yanayohitaji Ufafanuz na uamuzi wa Mahakama Bavicha huwa wanaleta Kwenye mitandao na sio kupeleka Mahakaman. Hivi katika hili la Rais kushtakiwa mbona katiba iko wazi kabisa?Kwamba bavicha vichwani ni WEUPE sana au ni kujitoa ufaham?
Linapokuja suala la siasa chafu sheria na katiba huwekwa pembeni. Sheria inayotumika ni ile iitwayo amri kutoka juu. Mtindo huu ndio unaotumika na mkulu, kuwaweka wapinzani wake ndani kwa sasa. Wakati huo ukifika hutaamini utakayoyaona. Lowassa na Sumaye walitamba sana enzi zao, leo hii huwezi kuamini upole wao. Acha jiwe atambe kwa sasa, ila atavuna anachopanda