Ibada na GADGETS

Ibada na GADGETS

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,431
Miaka Michache Ijayo Ibada Zitakuwa hv:
Mchg; Bwana aCfiwe!
Waumini; Ameen!
Mchg; 2chukue Laptops, IPad, Tablets na CM ze2 2fungue Wakorintho 13:13, piawasheni Bluetooth ili mpokee Mahubiri, kwa wanao2mia Fb,Twitter,BBM Mnaweza kunifuatilia huko! Baada ya mahubiri
Mchg; Wapendwa sasa ni wakati wa Sadaka,[...]
 
Last edited by a moderator:
sasa Bujibuji sadaka tutatoaje??

Inaitwa e-sadaka, kwa m-pesa, airtel money , tigo pesa na umoja switch, pia mlangoni kuna swipe machine ya visa na tembo card master card.
 
Last edited by a moderator:
Inaitwa e-sadaka, kwa m-pesa, airtel money , tigo pesa na umoja switch, pia mlangoni kuna swipe machine ya visa na tembo card master card.
tumezoea wazee wa kanisa wanazichukua na kuzihesabu pamoja halafu tunajulishwa makusanyo, je hapa nani atahesabu wkt waumini wenyewe tupo online hatujaenda?
 
kwa hi-Tech countries hii kitu ipo tayari...
 
tumezoea wazee wa kanisa wanazichukua na kuzihesabu pamoja halafu tunajulishwa makusanyo, je hapa nani atahesabu wkt waumini wenyewe tupo online hatujaenda?

Unatumiwa report kwenye email yako. . .
 
kwa hi-Tech countries hii kitu ipo tayari...

My husband umenena vyema yaani kuna kanisa nilikwenda huko ughaibuni jamaa wana iPad church nkawa najiuliza inakuwaje.... Mara mchungaji aliposema waumini tufungue biblia kitabu fulani jamaa wakaanza kusoma bible in their iPads... Duh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom