Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,287
Toa hela ununue timu iliyopanda ligi kuu uipe jina lako..😀 😀 timu ya ligi kuu au iliyopanda inanunuliwa na kubadilishwa jina
Toa hela ununue timu iliyopanda ligi kuu uipe jina lako..😀 😀 timu ya ligi kuu au iliyopanda inanunuliwa na kubadilishwa jina
Hujui hiyo 260 haitoshi mishahara, kambi, safari, ulinzi etc?Kuhusi Pesa za kuendesha club, Azam atatoa bilioni 40 kama alivyowapa yanga, Kila mwezi kuna Milioni 260 [emoji56][emoji56] bado pesa ya viingilio, jezi, sponsors, caf, etc