Mlamba Chumvi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2016
- 403
- 382
Tufanye ww ndo ungekuwa mtalii na upo ndani ya hilo gari je kingetokea nini?View attachment VID-20181031-WA0025.mp4
Ungekuwa wewe hapo sidhani kama ungeondoka bila kujikojoleaHao vyui wenyewe wanaonekana mashoga
Aaah wapi ningemsalimu u huyo aliyedumbukia garini shikamoo blaza chuiUngekuwa wewe hapo sidhani kama ungeondoka bila kujikojolea
Hapo hakuna kitu cha kuopesha. Hao cheeter kwanza siyo hatari hasa kwa mazingira waliyokuwa. Wanaonekana wameshazoeana na watuUngekuwa wewe hapo sidhani kama ungeondoka bila kujikojolea