Iam looking for a serious boyfriend!

Iam looking for a serious boyfriend!

Utasubir sana endelea kuchagua,,,kamwombe Mungu wako akupe Mume mwema sio kutaka boyfriend unataka kufanya uzinifu tuu na utawapata sana wazinifu zero brain ww
 
Here I am...nichek bby yf material....ni kwa neema tu kwa neemaaaa....
 
Dah! Kweli hapa kazi ipo mtu kaweka post yake ya anachotaka badala ya kupata ana chambuliwa sasa mpaka hapo mmemsaidiaje wakuu?
 
Mh! if realy you have the characters you have mentioned above,why up to now your out of marriage?,dont market yourself, keep on praying rather than making sexual business in social netwogrks.!

Nini lengo la "social network",.....bila shaka hujui na kama unajua huelew....nahis hujasoma na kama umesoma bas mpaka ulipofikia ulikua unaibia....watu ka nyie hatuwahitaji humu.
 
how come unasifa hzo and ur still single?? this is not zali...be warned guys

Sorry kakangu,mapenzi ni zaidi ya tuyajuavyo..hujawahi kuona dada mzuri wa kila sifa na bado analia anatendwa??sabb hajapata chaguo lake na hata hivyo sidhani kama chaguo langu lipo huku.upweke unatutesa wengine hadi tunakuwa desperate na mpenzi mwingine bt ntasubiri mungu atanipa!
 
Utasubir sana endelea kuchagua,,,kamwombe Mungu wako akupe Mume mwema sio kutaka boyfriend unataka kufanya uzinifu tuu na utawapata sana wazinifu zero brain ww

Nashukuru kwa ushauri wako na pia matusi yako!may GOD's blessings be upon u!!
 
Da nishakukosa hapo kwenye urefu tu. Vingine vyote ninavyo
 
Unakpkaa hakuna wanaume?malaya weww

Nashukuru!naona umepata chance ya kutukana!mimi sina akili mbovu za kujibishana hoja za aina yako!kama ungekuwa smart kichwani usingecomment namna hii!
Mola akuhurumie ww na ubongo wako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom