Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Ndoa ni jambo zuri tena la heri,lkn changamoto zake ni chungu kuliko raha yenyewe!
Kwangu Mimi nikizaa watoto watatu na mwanamke mmoja ama hata wawili ama watatu tofauti inatosha!ili mradi nipate wale wanawake wanaopenda kususia baba zao watoto I don't care!
Jambo ambalo sitaki maishani mwangu ni kukubali kulelewa mtoto wangu na mwanaume mwingine hata kwa viboko
Sent by Diaspora
Kwangu Mimi nikizaa watoto watatu na mwanamke mmoja ama hata wawili ama watatu tofauti inatosha!ili mradi nipate wale wanawake wanaopenda kususia baba zao watoto I don't care!
Jambo ambalo sitaki maishani mwangu ni kukubali kulelewa mtoto wangu na mwanaume mwingine hata kwa viboko
Sent by Diaspora