My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Kimya kimya nimeanza mchakato wa kuomba Uraia wa Kenya, Kenyatta you're the best president ever not only in East Africa, but also in Africa.
Kwa kuanzia nilitanguliza miradi kabisa Kenya, sasa kwangu njia naiona nyeupe.
Ni bora niwe raia wa taifa lenye misingi iliyowazi hata Kama Lina ukabila, kuliko taifa lenye unafiki wa amani huku misingi ya taifa ikiporwa.
Kwa kuanzia nilitanguliza miradi kabisa Kenya, sasa kwangu njia naiona nyeupe.
Ni bora niwe raia wa taifa lenye misingi iliyowazi hata Kama Lina ukabila, kuliko taifa lenye unafiki wa amani huku misingi ya taifa ikiporwa.