I wish I had a husband already

We unafikiri Jf imejaa wanawake tu? Au nitoe siri? Nilidate na mtu from Jf for three years and everything was going well with the relationship..this is just a new ID (my interest declared)
Yani unadate na yeye miaka mitatu nothing output. Hujioni kama Galasa.??? Ko miaka 3 imekushinda uneona utafute Express wa dakika 3.

Nafuu uendelee kulea mwanao
 
Mm sio mfupi. I can expose myself for this sake
Wanaume warefu wapo PM tunayajenga nyie wafupi endeleeni kutokwa na mapovu hapa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Just can't entertain your foolishness.

Naendelea kukusisitiza “LEA MWANAO”
 
Kwa kifupi kama Ka.tiwa na jamaa wa JF ina maana Sisi masela wote wa JF tumepita [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Jamaa si katuwakilisha. Acha tuendeleze harakat
Atakuwa na msongo w Mawazo akifikiri jamaa alivyompiga sound akaingia mkenge na leo jamaa ameshazalisha na yuko mbali nae hata habari ya ndoa haisikii
 
Kwa kifupi kama Ka.tiwa na jamaa wa JF ina maana Sisi masela wote wa JF tumepita [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Jamaa si katuwakilisha. Acha tuendeleze harakat
See now you can't stop with your nonsense comments[emoji16] [emoji16] [emoji16] be smart at least once bro
 
muacheni binti ajitafutie ndoa, wanawake kuolewa cku hizi ni inshu saaaana.
 
Kupata mume si rahisi kama unavyotaka...ukikua utaelewa namaanisha nini,mume ni zaidi ya u-handsome,se.x n.k,natumia uzoefu wa kuwa kwenye ndoa zaidi ya miaka 10+ lakini ukituona utafikiri ndio tumekutana leo.Mara nyingi mume atafutwi kwa njia unayotumia wewe,bali huwa anakuja 'automatic' kutokana na wewe unavyojiweka katika mazingira yanayokuzunguka.Kama unadharau...utawapata watakaokudharau na mwisho wa siku ni kuchapwa tu,na hata kama kuna ndoa itakuwa ni ile ya misukosuko.
 
[emoji4][emoji4]kukiwa na dalili (pm) tujuze tuandae mchango wa harusi[emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…