Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Nawahurumia sana
Sisi ambao siyo CCM tumeelewa,ila naungana nawe kuomba mleta mada aweke kipengele cha For CCM readers/subscribers only.I hope s/he will agree.owomkyalo,
Mbona hii ingependeza sana kama ungeiweka kwenye lugha yetu nzuri mkuu 'owomkyalo'.
Ulivyoiwasilisha hivi unainyima uzito wake sahihi.
Kama ni njia ya kujifunzia hiyo lugha nyingine, bado sana, itabidi uweke juhuzi zaidi, na sio katika njia hii uliyotumia hapa.
Sijatukana, wala sijakudharau. Ni ukweli tu.
Basi ngoja nikudharau wewe unayependa kudharauliwa. Nini uta-do!Punguza dharau zako bwana!
Basi ngoja nikudharau wewe unayependa kudharauliwa. Nini uta-do!
Am servant of fair and equal political system to both parties, each party should have equal chance to be selected by all eligible votersMy political party Chadema now we expect to rule this country in few days ahead.
So as this will not be done through ballot box without Free and fair election.
The time of pleading new constitution and independent electrol commission is out, how we will do!
But I want to insist JP to respect our desicion through ballot in order to protect our peace and security.
No hate, no fear