Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
nafikiri huyu ´´Dr´´ akasome kwanza lugha alafu arudi tena na swala lake labda tutaelewa!!
Nakuunga mkono. Naona sio doctor wala nini. Na kama ni doctor kweli kivivyo ndio maana yakamfika hayo.
nafikiri huyu ´´Dr´´ akasome kwanza lugha alafu arudi tena na swala lake labda tutaelewa!!
pole docta
nawe umewaza nini majanga ya 2008 kutoa pole leo
Alistahili pole asa 2008 sikuepo mimi
hahah aya bnah, ndo uachane ba blind dates sasa