I want him badly

I want him badly

hehehe ulitaka uonekane matawi eeehh kwmab wanaume wanakungangania ukaona soo kumwambia uko peke yako hahaha,uongo wako umekuicost na utazidi kuwacost
 
Mnajifanya mko juu, mnanataaaaa, kumbe roho zinawauma sasa utajutaje kumkosa mshefa!
 
Naomben ushaur wana MMU...kuna kaka nilisoma nae shule moja yeye alikuwa a-level mim nipo o-level..hakuwai kuonesha dalili ya kunipenda kabisa wala hatukuzoeana...sasa nikaja kumeet nae accidentally town baada ya miaka km mitano..akaniomba no yangu nikampa tukawa tunawasiliana kama marafik mara yy akaenda nje kusoma kwaiyo mawasiliano yakakatika..baada ya miaka miwil akarud akanitafuta facebuk akaniomba tena my no nkampa tukaendeleza communication. Sasa ndo akaniambia ananitaka and he asked me if i date someone nkamwambia ndio kuna mtu namdate lakin sio kwel nilimdanganya tu cna mtu ninayemdate kwa sasa..basi kaka wa watu akapunguza communications kabisa sio kama mwanzo..tatizo linakuja kwamba ss hv najisikia kumpenda sana na najuta kumjibu kuwa nina mtu wakat sio kwel...nishaurin nifanyeje ili nimpate maana nampenda kwel sasa..

Haya sasa, kazi ni kwako, mwambie ajiunge JF

Mbona nimeshajiunga JF kitambo....

Sikia Aunty kemmy ulinivunja sana nguvu na pale uliponiambia unadate na mwingine roho iliniuma sana nikabahatika kukutana na mrembo mpya na nishaanza kudate nae pole sana.... uamuzi niliochukua kutaka kudate nawe ulikuwa ni mzito sana na sikitegemea majibu yako ndio maana hadi sasa umenipa kidonda rohoni... ila usivunjike moyo nitakuunganisha na NasDaz kama unamkumbuka tulikuwa nae school ile alikuwa anapenda mademu wenye watu wao tu masigle alikuwa hawataki
 
Last edited by a moderator:
I can imagine. What are you listening to 2014? Not Versace still?

Yeah still bumping Versace but lately I been on YG's 'my nigga'

I said that I'ma ride for my mother----ing niggas,
Most likely I'ma die with my finger on the trigger
I've been grinding outside, all day with my niggas
And I ain't going in, unless I'm with my nigga

 
Last edited by a moderator:
Yeah still bumping Versace but lately I been on YG's 'my nigga'

I said that I'ma ride for my mother----ing niggas,
Most likely I'ma die with my finger on the trigger
I've been grinding outside, all day with my niggas
And I ain't going in, unless I'm with my nigga



Playing....nice beat
 
Last edited by a moderator:
Tell him the truth......kufa ya nini......YOLO........
 
Kama no yake unayo unashindwa vp kumrudisha??
Unamwambia ulikuwa unataka kujua upendo wake kwako ndio maana ulimwambia hivyo!!!!
 
Utakuwa umegundua ana hela ndo maana unahaha sasa Acha tamaa!!
 
NiPM no yake nimpigie nikusaidie kumrudisha kwenye mstari...
 
tatzo n kwamba hatuji na vbandko vya viwango vya uvumilivu..mnakosea kukaza kwa asiependa hayo. Yes! Mwanamke kurnga ni hadhi yake lakn sio kwa kila mtu na kwa viwango vlevle. Cha kufanya sahv, ukimpgia na kumwambia ulimtania utaharibu wangu, atarudi vbaya na ataishia kukutifua tu. Weka malengo yako na tega vizur mtego wako.
 
Kuwa na mtu nisababu ya kupunguza communications...? Hana mpango huyo kaka achana naye. Ungemwambia umeolewa labda angenyuti angeeleweka... Atakuja tu mwenyewe kama akili zake ni za kiutu uzima...

Ndiyo hiyo inaweza kuwa sababu ya jupunguza mawasiliano ili kulinda heshima ya mwenye chake sasa huyu naye kumbe hana mtu sasa ameanza kuona umuhimu wa kuwa na mtu wa kuwa anakutakia usiku mwema. Hii haiondoa uhalisia wa maisha ila inapunguza stress.
 
Back
Top Bottom