I want him badly

I want him badly

Ndio ujue madhara ya sitaki nataka,ww mtu mzma unakua na tabia km ya watoto wa sekondari au chuo,ujifunze kua muwazi ,hata ukimwambia ulikua unamtania anaweza asikuamin.
 
Wanaume wengine hatujui kusumbuana na wanawake, mimi nakutaka mara moja, ukiniambia una mtu, au ukakataa ndio imetoka tena. I dont find any pleasure kubadilisha no ya mwanamke iwe yes.

Pole sana, dunia hii wanawake walivyo wengi, nani anataka mambo ya Ufoo na Mushi
 
kwamimi ninachoamini mtu anakupenda mara moja tu..hasa kwa wanaume wastarabu wanaojua thamani ya mtu na uchungu wa mapenzi ukiwaambia unamtu lazima aheshimu mawazo yako.sasa ikitokea ukarudi tena kwake lazima ajiulize umeona nin kipya kwake??imekuwaje hata urudi kwake??? je akitokea mtu mwenye pesa/maisha mazuri zaidi yake si utamwacha na kwenda kwa huyo mwengine??? hapo haijalishi ni jinsi gani utakavyo jitetea still bado atakuwa na mashaka...
hivyo dada hapo naona kama UTARAMBA GARASA..bora uchape rapa uaminifu hautakuwepo kwa huyo jamaa..
 
kisha kupiga buyu huyo , ukimfata fata atakufanya ndondocha , wewe ulikuwa humpendi leo hii umeamua kumpenda , kuna nini hapo. achana naye hafai .
 
Huyo ukimfuata sasa anakupiga chini kwa kudhani umeachika sasa ndo unamfuata fuata. Au anaweza dhani unataka kumchomekea mimba au maginjwa yetu yalee ya UMEME. Pole sana ila jaribu tena!
 
Baeleze Husninyo! Njemba inamtaka halafu anajifanya kudengua na kujibaraguza kujionyesha yuko matawi ya juu, "nina mtu wangu" kumbe ni uongo mtupu!!! Chakarika mtafute mwambie una mazungumzo naye ya maana mtoe dinner kwanza umuombe samahani kwa kutokuwa mkweli kisha umueleze kwamba unamzimikia. Uombe Mungu wako awe hajapata mrembo mwingine hivyo naye kukugeuzia kibao, "nina mtu wangu" kila la heri halafu usisahau kurudi hapa kutoa updates.

pole sana, huu mtindo wenu wa kutingisha kibiriti itawacost sana. mwambie kuwa ulimdanganya.
 
Last edited by a moderator:
Labda alitaka abembelezwe,akakuta jamaa alifocus kwenye jibu zaidi
Heart mwanaume mstaarabu ukishamwambia una bwana anaheshimu maamuzi yako,ukitaka akubebembeleze,sema hauna bwana/boyfriend ila asubiri kwa sasa hauko tayari,hapo ndo tunapombembeleza hadi magoti tunapiga,hata ukiambiwa saa nane za usiku niletee juisi tunapeleka ili kubembeleza!Lakini nina bwana,nani akubembeleze,labda kama humjui Ufosaro!
 
Last edited by a moderator:
Naomben ushaur wana MMU...kuna kaka nilisoma nae shule moja yeye alikuwa a-level mim nipo o-level..hakuwai kuonesha dalili ya kunipenda kabisa wala hatukuzoeana...sasa nikaja kumeet nae accidentally town baada ya miaka km mitano..akaniomba no yangu nikampa tukawa tunawasiliana kama marafik mara yy akaenda nje kusoma kwaiyo mawasiliano yakakatika..baada ya miaka miwil akarud akanitafuta facebuk akaniomba tena my no nkampa tukaendeleza communication. Sasa ndo akaniambia ananitaka and he asked me if i date someone nkamwambia ndio kuna mtu namdate lakin sio kwel nilimdanganya tu cna mtu ninayemdate kwa sasa..basi kaka wa watu akapunguza communications kabisa sio kama mwanzo..tatizo linakuja kwamba ss hv najisikia kumpenda sana na najuta kumjibu kuwa nina mtu wakat sio kwel...nishaurin nifanyeje ili nimpate maana nampenda kwel sasa..

If you don't love me now, don't love me later..
 
ulimwambia unaye wakati huna ili iweje? haya kamwambie ulimdanganya
 
kuwa na amani, ndio mm hapa! namba yako ninayo nitakupigia! ila next tyme usirudie!
 
Back
Top Bottom