Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,564
Haya sasa, kazi ni kwako, mwambie ajiunge JF
Hahahaa haaaa uwiii nimecheka
Haya sasa, kazi ni kwako, mwambie ajiunge JF
pole sana, huu mtindo wenu wa kutingisha kibiriti itawacost sana. mwambie kuwa ulimdanganya.
pole sana, huu mtindo wenu wa kutingisha kibiriti itawacost sana. mwambie kuwa ulimdanganya.
Heart mwanaume mstaarabu ukishamwambia una bwana anaheshimu maamuzi yako,ukitaka akubebembeleze,sema hauna bwana/boyfriend ila asubiri kwa sasa hauko tayari,hapo ndo tunapombembeleza hadi magoti tunapiga,hata ukiambiwa saa nane za usiku niletee juisi tunapeleka ili kubembeleza!Lakini nina bwana,nani akubembeleze,labda kama humjui Ufosaro!Labda alitaka abembelezwe,akakuta jamaa alifocus kwenye jibu zaidi
Naomben ushaur wana MMU...kuna kaka nilisoma nae shule moja yeye alikuwa a-level mim nipo o-level..hakuwai kuonesha dalili ya kunipenda kabisa wala hatukuzoeana...sasa nikaja kumeet nae accidentally town baada ya miaka km mitano..akaniomba no yangu nikampa tukawa tunawasiliana kama marafik mara yy akaenda nje kusoma kwaiyo mawasiliano yakakatika..baada ya miaka miwil akarud akanitafuta facebuk akaniomba tena my no nkampa tukaendeleza communication. Sasa ndo akaniambia ananitaka and he asked me if i date someone nkamwambia ndio kuna mtu namdate lakin sio kwel nilimdanganya tu cna mtu ninayemdate kwa sasa..basi kaka wa watu akapunguza communications kabisa sio kama mwanzo..tatizo linakuja kwamba ss hv najisikia kumpenda sana na najuta kumjibu kuwa nina mtu wakat sio kwel...nishaurin nifanyeje ili nimpate maana nampenda kwel sasa..
::
Ooo! Loving when its too late.
=