I want him badly

I want him badly

Playing....nice beat

mnaotupia mistari humu ndani mi nawakubali kinoma mana naburudika muno coz nipo on the bed na bonge la cm kitu samsung galaxy note 10.1 so nikubofya tu full burdan ebu tupieni mistari ya kutoooooooosha wengine tuongaze miaka ya kusavive
 
Kna watu wanadanganya mpka makabila yao . Uongo si kitu chema na hapo hata kama atakukubalia kumbuka ushapoteza point kadhaa. Sasa wewe mtafute mwambie unampenda na ulisema una mtu kwa sababu alikuwepo lkn umegundua si mwaminifu umeamua kuachana nae.
 
Kwann udanganye wakati unahitaji kama lake dah watu wengine bwana mapenzi raha ujue
 
mnaotupia mistari humu ndani mi nawakubali kinoma mana naburudika muno coz nipo on the bed na bonge la cm kitu samsung galaxy note 10.1 so nikubofya tu full burdan ebu tupieni mistari ya kutoooooooosha wengine tuongaze miaka ya kusavive

Kafanye homework ulale
 
Mbona nimeshajiunga JF kitambo....

Sikia Aunty kemmy ulinivunja sana nguvu na pale uliponiambia unadate na mwingine roho iliniuma sana nikabahatika kukutana na mrembo mpya na nishaanza kudate nae pole sana.... uamuzi niliochukua kutaka kudate nawe ulikuwa ni mzito sana na sikitegemea majibu yako ndio maana hadi sasa umenipa kidonda rohoni... ila usivunjike moyo nitakuunganisha na NasDaz kama unamkumbuka tulikuwa nae school ile alikuwa anapenda mademu wenye watu wao tu masigle alikuwa hawataki
Mlaleo,
Hapo ndipo ninapokupendea mkuu wangu manake unavikumbuka vgezo vyangu vya msingi!! Mwambie Aunty kemmy kwamba nipo kwa ajili yake; shaka shaka ya nini ingali bado alfajiri??!! Habari njema kwake, for the time being, am vacant baada ya yule niliyekuwa nae kuachana na bwana ake na hivyo kupoteza sifa kwangu...sikuwa na budi bali kumpa za mbavu; nshazoea vya ku-share mie; vya peke yangu havina ladha zaidi ya karaha!
 
Last edited by a moderator:
muite chobingo uongee naye vzr atakuelewa tu, staki nataka za madem zinaleweka!ila next time jaribu kuwa mkweli, uongo hauna tija.
 
Back
Top Bottom