To be honest nchi yetu ni very corrupt sana. Tatizo moja tu, Serikali siyo wazi haisemi na pia hakuna free media kama Kenya.
Kiukweli Wakenya wanajitahidi sana kupinga rushwa na ufisadi, sisi Watanzania hatuwezi kufikia Kenya katika free media na kupinga ufisadi.
Mfano toka ianzishwe mahakama ya mafisadi hakuna hata mmoja alikamatwa, while Kenya with no court deal with that offense, wanakatamata mafisadi kama akina Sonko.
Watanzania wengi ni praise team tu hakuna jipya. Finally nawapongeza Wakenya for their freedom of media na free democracy.
Tanzania bado tupo stone age with some socialist remarks lakini tuna resources za kutosha ,na human resource iko vizuri.
Tukiamua tuwe na completely mixed economy our GDP will grow to 150 Billion US$ in three years to come.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli Wakenya wanajitahidi sana kupinga rushwa na ufisadi, sisi Watanzania hatuwezi kufikia Kenya katika free media na kupinga ufisadi.
Mfano toka ianzishwe mahakama ya mafisadi hakuna hata mmoja alikamatwa, while Kenya with no court deal with that offense, wanakatamata mafisadi kama akina Sonko.
Watanzania wengi ni praise team tu hakuna jipya. Finally nawapongeza Wakenya for their freedom of media na free democracy.
Tanzania bado tupo stone age with some socialist remarks lakini tuna resources za kutosha ,na human resource iko vizuri.
Tukiamua tuwe na completely mixed economy our GDP will grow to 150 Billion US$ in three years to come.
Sent using Jamii Forums mobile app