Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
Ukionya manyoya, labda wamemkurupua tu hawajamchinja bado.
Kongosho, Kongosho, Kongosho wee! How many times should I warn you?
Ukionya manyoya, labda wamemkurupua tu hawajamchinja bado.
Lakini hata hivyo, can you reconcile this:
And this?
Source: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/264327-jamani-msaidieni-happy.html
Kadesa hapa ndio maana: I suspect my wife of having an affair with another woman.
On another thought, tafadhali nipatie namba ya my wife wako kwa pm, ntakupa "solution" within 24 hours za kuongea nae personally. Nimesikia yako (upande mmoja wa shillingi), nataka nisikie na yake (upande wa pili wa shillingi).
Now u wanna bang both, huh?
Mwayego uthimpe, atamalizia kunyonyoa. Bora wamemparura tu!
Asikwambie mtu kuibiwa penzi na mwanamke ni nourrma! Atabaki kua na wewe kwa ajili ya show na matunzo tu lakini malovey davey yooote kwa mwanamke mwenzie! Tena kama bidada anayem-mega yupo tayari anachukua jumla kabisa.
Hapo jamaa anatakiwa awe dikteta tu.......amwambie mkewe "kuanzia leo staki mawasiliano wala kusikia jina la huyo rafiki yako.......nikisikia tu I will know what to do!"
Jamani hata kama ni kupenda,basi isiwe mpaka unashindwa kukemea unabaki kulalama tu
We ribosome hujatulia. Mwanzo nlidhani mekuelewa, nlivyosoma hadi mwisho nkahisi kupatwa kwa jua
On another thought, tafadhali nipatie namba ya my wife wako kwa pm, ntakupa "solution" within 24 hours za kuongea nae personally. Nimesikia yako (upande mmoja wa shillingi), nataka nisikie na yake (upande wa pili wa shillingi).