Wana wake wa mjini acha tu,
Nimekutana na lidada miaka tele january 2 december za kutosha
Ananiambia " I never felt this way b 4"
Huyu mmama ni mkweli au mwizi ananiongopea?
Mh halafu hiyo id yako kaka jamabazi unataka kuleta mapanga csina kitu mkuu!
Inawezekana, kwani alikuambia baada ya wewe kumfanyia nini? Kumbusu? Kumnunulia zawadi? Kumsifia kapendeza? au?
Hebu fafanua kidogo......Ila inawezekana kabisa kuwa anamaanisha anachokisema.
Wana wake wa mjini acha tu,
Nimekutana na lidada miaka tele january 2 december za kutosha
Ananiambia " I never felt this way b 4"
Huyu mmama ni mkweli au mwizi ananiongopea?
Eti ehe mh inamaana tangu aanze na umri huo hajawahi jisikia hivyo!
Ok it is possible!
nilifurahi sana aliponiambia hivyo but nikaanza jiuliza kweli kwa umri huu!
Eti ehe mh inamaana tangu aanze na umri huo hajawahi jisikia hivyo!
Ok it is possible!
nilifurahi sana aliponiambia hivyo but nikaanza jiuliza kweli kwa umri huu!
I never felt this way b4!
kwanza hii ni tungo tata........ pili inawezekana it was so bad yaniiii hakuwahi kufill ubaya kiasi hico
je iweje we ufikirie kamshahara kako hako ka JK.......