Ni Christian naabudu Luthera, nina Degree 1 ya Industrial Relation, nimeajiriwa gvt sector CMA commission of Mediation and Arbitration nataka Husband Mcha Mungu.
Mie mwenyewe ni she aproach 30yrs nasaka husband material na awe yupo saafi kifinancial.
Mie mwenyewe ni she aproach 30yrs nasaka husband material na awe yupo saafi kifinancial.
Jambazi at work
Jambazi at work
Tatizo la love connect ya Watanzania bado haijawa serious...Ukisema unatafuta basi watu wantakuwa wanakusanifu...Bado wanafikra mbovuuu...Tunatakiwa tubadilike tuwe serious ktk mambo tunayoyafanya .....
Wako wengi wanakosa wenza ila kupost inakuwa ngumu.....Bora hiyo ya kutafuta wenza iwe ya kulipia km Elfu kumi then mtu kutoa comment mbovu mbovu itakuwa shida sababu inagharimu...Ambaye yupo serious atalipa sababu anashida ya kutafuta mwenza...
Ni mawazo yangu..
Tatizo la love connect ya Watanzania bado haijawa serious...Ukisema unatafuta basi watu wantakuwa wanakusanifu...Bado wanafikra mbovuuu...Tunatakiwa tubadilike tuwe serious ktk mambo tunayoyafanya .....
Wako wengi wanakosa wenza ila kupost inakuwa ngumu.....Bora hiyo ya kutafuta wenza iwe ya kulipia km Elfu kumi then mtu kutoa comment mbovu mbovu itakuwa shida sababu inagharimu...Ambaye yupo serious atalipa sababu anashida ya kutafuta mwenza...
Ni mawazo yangu..
Hivi ni kweli kuwa ndoa zinahitajika kwa hali na mali kias hicho? Naona matangazo yanazidi ....... Kila la kheri bi dada