leonard mwenda
JF-Expert Member
- Nov 5, 2015
- 253
- 64
Blocked
Huna dada au dada zako sio gals
Ndiyo nashangaa, labda ukoo wao ni wanaume tupu!
HiyoWhy usisubiri paka uwe recruited into a job?
Next time uandike kwa kiswahili. Maana umetumia nguvu kubwa kuandika kwa lugha za watu.
Ulijuaje mkuu nipe Dada ako basi najua umri unazidi kumtupa mkono tu na bado yupo hom.Una domo zege wewe sio bure maana haiwezekani mademu wote uliosoma nao chuo usipate hata mmoja.
Sina uhakika kuhusu hilo mkuu!Huna dada au dada zako sio gals
leonard mwenda niwie radhi kwa hili lakini kama ulianza kusoma Kiingereza tangu shule ya msingi mpaka ukamaliza chuo kikubwa halafu hii ndio aina ya uandishi uliyo nayo.... Please NO....!!!Am a man about 24 yrs. Accomplished university but not yet recruited into a job place. I need a girl to exchange views, ideas and all current issues relating with love affairs. If ur interested pliz pm me u will get response. Gals only.
Recruited into a job placeWhy usisubiri paka uwe recruited into a job?
Next time uandike kwa kiswahili. Maana umetumia nguvu kubwa kuandika kwa lugha za watu.