afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
acha niangalie bethi satifiketi yangu kama nishatinga 40. brb
mmhh hata usijaribu hhhhaahaaahhaah lol
acha niangalie bethi satifiketi yangu kama nishatinga 40. brb
kwanini? mbona unanitishaga? halaf hizi sred za "i need a friend" nimegundua ziko twin. au leo ni siku ya friendship?mmhh hata usijaribu hhhhaahaaahhaah lol
Babu yangu ana umri huo kama vipi nikuunganishe nae ila yeye hayupo jf.
babu yako ni memba wa JF? hii sredi ni speshel offer kwa vifataki vya JF tu, huyo babu yako mpeleke takururu akazuie rushwa.
hii CV ya babu yako ina kontradikshen, atakuwaje single halaf awe anajua kujali sasa eksperiens amepata wapi? acha kumpigia debe babu yako bana! acha nimPM dinam kabla haujaniwekea guu wewe na grandbabu wakobwana nini?
Babu yangu yupo single halafu anajua kumjali mtu. Yaani hatojutia. Na wewe kama una dada yako lete cv yake nimuunganishie penzi.
hii CV ya babu yako ina kontradikshen, atakuwaje single halaf awe anajua kujali sasa eksperiens amepata wapi? acha kumpigia debe babu yako bana! acha nimPM dinam kabla haujaniwekea guu wewe na grandbabu wako
Mmmh!! Si useme mume 2??!!
Rafiki unaweka KIGEZO cha UMRI tena!!
babu yangu ameachwa na bibi 3yrs ago jamani.
Dinam hataki vijana au wewe ushachakachua birthday yako eeh?
Dinam nipm nataka uwe bibi yangu.
yahaa ziko mbili kweli lol..kwanini? mbona unanitishaga? halaf hizi sred za "i need a friend" nimegundua ziko twin. au leo ni siku ya friendship?
mmhh
bibie mbona umewalegezea hivyo??
wenyewe wakitakaga msichana/mwanamke..
mmmhh ni balaa humu ndani wataandika mpaka na rangi ya nguooo..
wakazie basi mtego kidogo ....
mmmhhh usiwaonee huruma..
Huyu dada/kaka anataka mtu ambaye life expectance iko dakika 85 ya mchezo wa mpira wa miguu ili akienda kuwa visit akina Plato na Aristotle aridhi utajiri wake. Huu ni ufisadi wa kijanja sana.
khaaa! halaf dinam wenyewe amepotea gafla kwenye mazingira ya kutatanisha, sjui tayari amepata au ni matatizo ya mgao wa umeme? halaf jaluo nyeupe sjui yuko wapi, hili ni zali la mentali.
Nimeshaliona hilo, ila kuna tatizo la umri. Hapa nipo bize nachakachukua beth satifiketi.
hahahah lol<br />
nyie wa birth certificate ndo mnani cheka kwa kweli hahah lol
ahasma? Mbona bongo kila kitu ni mchakachuo?
Ga Mila Garma??<br />
mmh jamni huyu ni kama antafuta mume..<br />
sasa mkianza kuchakuana sasa hizi mmmhhh<br />
jamani mtafika mahali kweli......
Gaa Ikakhaa ako..ikaa ayi.
Ni kwa nia nzuri tu ili kufikia vigezo vya mume anayemtaka.