Bwaaa hahahahahaaaa! Mishahara ya Tanzania hata usipokunywa pombe haitoshi ndio maana inadaiwa wabongo wote ni wezi. Mhudumu wa ofisi anayo makochi ya nguvu, kideo, friji, nyumba yenye utata kwa macho, anasomesha private watoto wake na yeye anakula vizuri na familia yake lakini mshahara kima cha chini. Akili mukichwa yako, teh teh teh teh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.