I Miss you very much

I Miss you very much

nameless girl

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
4,195
Reaction score
2,685
Mara ya mwisho kukuona, ulikua ukipanga vitu vyako vya kwenda navyo hospitali. Request yako ya mwisho kwangu, ni kuniomba nikakutengenezee matango. Uliyala matunda hayo kwa furaha na tabasamu. Kumbe lilikua tabasamu lako la mwisho mimi kuliona. Alafu ukaondoka bila kutuaga, nilielewa kuwa hukutaka kututia hofu, kwani ulidhani utarudi. Haikuwa ivyo. Ulienda moja kwa moja. Hukurudi tena.

Miaka 9 sasa imepita bila uwepo wako. Ni ngumu kuishi bila wewe lakini naamini siku zote uko pembeni yangu ukinisupport kwa yote niyafanyayo. Nimemic sana kuita mama, bt l cnt act calling mama while l wanna col you n not any other mamas.

l love u so much n l will always do.

Mic u mama.
 
Awwww. Pole sana nameless girl BAK, etc.Unajua nini, Your Ma is surely in a better place. Away from the pain and turmoils of this world. Whenever you miss her know that you can reach her in prayer. May the Good Lord make it easier for you. Be Blessed.
 
Last edited by a moderator:
Umenitoa machozi for sure na umenikumbusha mbali sana...Pole dia.
 
pole sana my dear, i can feel your pain because iam facing the same situation, i also lost my lovely mama some years back
Mara ya mwisho
kukuona, ulikua ukipanga vitu vyako vya kwenda navyo hospitali. Request
yako ya mwisho kwangu, ni kuniomba nikakutengenezee matango. Uliyala
matunda hayo kwa furaha na tabasamu. Kumbe lilikua tabasamu lako la
mwisho mimi kuliona. Alafu ukaondoka bila kutuaga, nilielewa kuwa
hukutaka kututia hofu, kwani ulidhani utarudi. Haikuwa ivyo. Ulienda
moja kwa moja. Hukurudi tena.

Miaka 9 sasa imepita bila uwepo wako. Ni ngumu kuishi bila wewe lakini
naamini siku zote uko pembeni yangu ukinisupport kwa yote niyafanyayo.
Nimemic sana kuita mama, bt l cnt act calling mama while l wanna col you
n not any other mamas.

l love u so much n l will always do.

Mic u mama.
 
am speechless maana maisha nayopitia sasa hivi...mungu tu ndie ajuae!
 
Pole. Kumbuka pia kwamba kila nafsi itaonja mauti. Ni kuonja tu, si kula mpaka kushiba.
 
Pole sana mpendwa sis sote tu wasafir n kumuombea tu mama
 
Muda unaponya majeraha yote. Weka kumbukumbu nzuri na endelea kummiss. Ukikutana na challenges basi make her proud. Pambana nayo kwa mbinu alizokufundisha.
am speechless maana maisha nayopitia sasa hivi...mungu tu ndie ajuae!
 
Name less, whn my bro passed on 20 years ago, i thought i would never survive. When mom passed on 8 years ago i was all cursing and wanted to throw things around. But i wanted all of them to be proud of me.
uour ma taught you how to be a woman. Make her proud, make her smile. You were not born weak, but stronger beyond measure.
 
Last edited by a moderator:
Name less, whn my bro passed on 20 years ago, i thought i would never survive. When mom passed on 8 years ago i was all cursing and wanted to throw things around. But i wanted all of them to be proud of me.
uour ma taught you how to be a woman. Make her proud, make her smile. You were not born weak, but stronger beyond measure.

Nakumbuka kwenye thread yangu moja ulielezea kuhusu Brother yako, sijasahau...Nakumbuka kidogo kile kipande
ulichosema kuna wakati ilitokea tatizo wewe ukajibanza mahali na kulia akaja na yeye mkaanza kulia wote.
Its painful kumpoteza unayempenda.

Some years back i lost my father halafu after three years i lost my mom. Kibaya zaidi Kaka yangu ambaye alinijali
na kutupenda sana naye akaondoka ....Hii ya mwisho iliniumiza sana kwa sababu ilirudisha kumbukumbu zote za nyuma.
nameless girl, pole sana, yanapita.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana, Kuna andiko moja nalipenda sana (A) Mhu 7:14 ''wakati wa furaha furahi, wakati wa shida FIKIRI maana Mungu ndiye amefanya ya kwanza na ya pili ili mwanadamu asijue limpatalo kesho''

B)Phil 4:8 ''hatimaye ndugu zangu, mambo yoyote yalio ya kweli, ya staha, ya haki, safi, yenye kupendeza, yoyote yenye sifa nzuri, YATAFAKARINI HAYO''

C) Hii dunia ina matatizo na changamoto nyingi sana na nyingi hatuka kontroo nazo, tulie tusilie zipo, tumie tusiumie zipo na sisi, Nimepitia mengi na nimeona mengi (I lost my dad when I was three) nikutieni moyo, kwa kuendelea kufikiria vitu vilivyo nje ya uwezo wetu ni kuendelea kujiumiza na kujionea and yet no solution. For any problem or challenge, just make a zeal in you that you wont fear and you shall develop such a necessary skill to solve it because you are very capable. problems shall always be there, so for every problem in life, jitahidi tu kutafuta solution nalo litaondoka for we are here now because we solved problems somewhere and to live tomorrow we need to solve today's problems. but one thing, WE SHALL NOT FEAR.

BARIKIWENI SANA

am speechless maana maisha nayopitia sasa hivi...mungu tu ndie ajuae!
 
Pole sana pamoja na wanaokuzunguka, Ni maombi yetu Mungu azidi kuwapa faraja ya kweli na popote mtakapoona mna uhitaji wake, Mungu akawainulie watu katikati yenu ili furaha yenu ikapate kukamilika.

Zab 46:1 ''Mungu ni kimbilio na Nguvu, msaada uonekanao TELE wakati wa shida''

Mara ya mwisho kukuona, ulikua ukipanga vitu vyako vya kwenda navyo hospitali. Request yako ya mwisho kwangu, ni kuniomba nikakutengenezee matango. Uliyala matunda hayo kwa furaha na tabasamu. Kumbe lilikua tabasamu lako la mwisho mimi kuliona. Alafu ukaondoka bila kutuaga, nilielewa kuwa hukutaka kututia hofu, kwani ulidhani utarudi. Haikuwa ivyo. Ulienda moja kwa moja. Hukurudi tena.

Miaka 9 sasa imepita bila uwepo wako. Ni ngumu kuishi bila wewe lakini naamini siku zote uko pembeni yangu ukinisupport kwa yote niyafanyayo. Nimemic sana kuita mama, bt l cnt act calling mama while l wanna col you n not any other mamas.

l love u so much n l will always do.

Mic u mama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom