Weeeeeeee sio mchezo,bonge la mtaalamu miss Chagga,kama kichwa unacho,maana umegonga palepale.Yaani ngoma imetoka Shinyanga mpaka Mtwara,safari ndefu sana sio mchezo,demu alikuja akiwa na picha ya jamaa ana maisha bab kuubwa,akijiambia jamaa ni matawi fulani ya good time,ile kutua Mtwara anamkuta jamaa kavaa yeboyebo na mkanda wa suruali wa kuunga,ile kupelekwa nyumbani sasa ndio balaa,chumba cha kupanga uani,kiti cha marimba,kitanda segemnege,hapo sasa atafanya visa mpaka jamaa amsafirishe kurudi Shinyanga,anyway simlaumu huyo bro sababu huyo mwanamke hafai kabisa tena nyoka mwenye vichwa viwili.