Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Watakufa kwa stressHawa madogo hawa
Watakufa kwa stressHawa madogo hawa
kbsaaaaWatakufa kwa stress
Mkuu Scars ukimkaushia mwanamke au ukikata nae mawasiliano lazima audience kwasababu anakosa attentionThat's what I did to my old hoe
Kilijipa thamani ambayo hakina kikajiona ni princess kwenye kasri ya kifalme basi akajiona cake
Nami kwakua sikua na time ya kubembeleza nikamkaushia, hakuamini mpaka pale alipotuma meseji akiuliza kama nilishawahi kupoteza simu.
Alihisi pengine ule ukimya ulitokana na mimi kupoteza namba yake kumbe nimeamua tu kumlia buyu
Ungeweka picha yake ndo nikajua ni nani nisije kukushauri ukakuta nakupa ushauri mzuri wa kumla my wangu! Mapenzi hayanaga macho ila na huo upofu wake ni vurugu tupu.

