figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Hamza Aziz ndo nakumbuka IGP aliye wahi kuwajibika kutokana na uzembe enzi za mwalimu. Huyu jamaa alikua kama na mkosi vile sababu kuna kipindi alikumbwa na kesi ya mauaji baada ya kugonga mtu pale mtaa wa Ohio. Kilicho muokoa ni report ya daktari iliyo sema kwamba IGP aligonga mtu aliyekuwa kashagongwa na gari lingine so aligonga maiti. Hapo ndo akapona lakini angijua Segerea. Yupo Dc pia alipelekwa mahakamani kwa kosa la kugonga ila kesi ilipotea baada ya vita ya kagera,jaji Kalegea naye yumo.