I dont want it

Akija kuoa huyo mwanamke asizae

We mbona umezaa na ilhali hujui kama yeye hana mwanamke mwingine au labda alishaoa na kuzaa kabla!!!!??!!!!

Mambo ya ovum na sperm tena hayo kama wako fertile watazaa tu! !!!!!
 
Huu ndio ushauri muafaka utekeleze mara tu utakapopata nguvu. Kila la heri, pole sana na hongera kwa kujifungua.

 
Mi nachanganyikiwa kwakweli najikaza tu.

Sasa ndio unapona hiyo kichaa yako kwa kuzungumza na watu kama hivi unasema babako mkorofi sana????!!!!

Mi sijaonaga mzee mkorofi akashindwa ku support matunzo ya mjukuu wake!!!!
 
We mbona umezaa na ilhali hujui kama yeye hana mwanamke mwingine au labda alishaoa na kuzaa kabla!!!!??!!!!

Mambo ya ovum na sperm tena hayo kama wako fertile watazaa tu! !!!!!
Mungu ampige kibao
 
Sasa ndio unapona hiyo kichaa yako kwa kuzungumza na watu kama hivi unasema babako mkorofi sana????!!!!

Mi sijaonaga mzee mkorofi akashindwa ku support matunzo ya mjukuu wake!!!!
Katika wote yeye ndo anisupport sana sasa na kaniambia wala hahitaji kumjua baba yake lakini awepo na ajue wajibu wake..
 
Huu ndio ushauri muafaka utekeleze mara tu utakapopata nguvu. Kila la heri, pole sana na hongera kwa kujifungua.
Kama ana huo uwezo na ni mtu wa kujali taswira yake kwenye jamii!!!!!
 
Katika wote yeye ndo anisupport sana sasa na kaniambia wala hahitaji kumjua baba yake lakini awepo na ajue wajibu wake..

Safi sana mzee ndio maana tunakuambia kwa sasa lea mwanao huyo mtu mzima akili itamrudi na atajua pa kukupata tu
 

hongera kwa kupata mtoto nduguyangu. ukweli naona unauona vizuri lakini hautaki kuupokea, huyo jamaa hajawahi kuwa na mapenzi ya kweli na wewe, mlikuwa mnatimiziana tamaa za mwili wala hamkuwahi kuongea mahusiano ya kudumu sema wewe ulijiaminisha tu kuwa ni mahusiano ya kudumu (kosa mnalofanya wanawake wengi)! mwache atulie huenda akamwonea imani mtoto, ikifika miezi sita bilabila nendamahakamini, kulea mtoto ni wajibu siyo hiyari.
 
mtoto ni wa bibi/babu kama babae hajitambui
 

Pole kwa yaliokukuta kumbuka ww co wamwanzo wala wamwisho kuachwa na mtt wapo watt waliepoteza wazaz wao na bd wamekuwa na huyo atakuwa pmj na hayo umekosea sana kumficha mwanaume suala la mimba ni zito linaweza kujenga au kubomoa endapo mwanaume atatia shaka kuwa mtt co wake usichoke kumtaka radhi bd anahasira lkn yatakwisha tu
 
Safi sana mzee ndio maana tunakuambia kwa sasa lea mwanao huyo mtu mzima akili itamrudi na atajua pa kukupata tu
Najipa moyo mtoto wangu atakua salama atakua mdada mrembo kama baba yake hatajirudi sasa basi hapo baadae wataelewana wenyewe acha mi nilee malaika wangu ambaye sikumtupa chooni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…