Thanx mamy ila tena ndio nisiwe uchochoro wa kitaa wapita njia na haja ndogo humohumo!!!!
Baneni miguu jamani sio tena na wewe uje hivi kwa styLe hii, na michozi uko pregooo NOOO!!!!!
badiebey, Heaven on Earth mtoe kopi maneno haya na muyatumie huko kwenye dinner, get together, sijui tunamuaga mfanyakazi mwenzetu kumbeeeeeee
Wee oddo kwan mamkubwa kalala?
I hope na we umejilaza pembeni!
Usikae sana mgongo utauma huoooo,mpk nikipata shemdarling mwingine ushindwe kumhug! Oh!
Ona sasa!
Watu kwa kuongea kinyume !
Nimekuskia mwaya
Sema nini, chukua karatasi litengeneze kama filter hiv,aaf kamata ka Nzi!muweke humo then fanya kufungua zipu Kisha weka hiyo filter!
Relaaaax shida yako itaisha fasta!
Ninao ila hawajui ukweli sija semahuyu mdada needs a brother!a father!.
Nyakati kama hizi a woman anahitaji ndugu yake wa kiume!
Kaka ,baba ,binamu also can do!
Mbona anapita kiulaini tu hapa!
huggies unae kaka?babako yupo? Binamu wa kiume?
Stick with them!
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!Yeye anasafirigi na tumbo wala halikua kubwa yani miezi 9 ilokua kama miezi 5 na na alikua na matatizo ndo maana nikaona bora nikae kimya kwanza nilivyoona siku zinazidi kwenda nikamwambia ukweli.
Mbali kivipiAlijua una mimba au mimba yake????!!!
Hivi hongera unajua inaweza kuwa ya kukusukumia mbali???!!!
Hahahaaa mbona tumebana tu usihofu! Subiri kupokea mkaja wa shemeji
Mbali kivipi
kana nyonya
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !
Sawa bwana asante. Mi nasubiriHiyo inatokea kama mlikuwa hamjawekana sawa kuhusu kupata mtoto. Ni reaction ya kawaida kwa mwanaume ambaye, pamoja na kula tunda lakini bado kwa sababu fulani ikiwa ni pamoja na uoga wa kulea, anakataa matokeo.
Take heart, ni suala la muda atarudi kwenye akili yake ya kawaida akitulia na kupata mawili matatu kwa marafiki au jamaa zake na atamhudumia mtoto. Ni muda gani? hilo linategemea na mtu mwenyewe lakini nina uhakika atarudi tu kumlea mwanae.
Wote wawili, wewe na yeye mna makosa katika hili. Kwa sasa dada kuwa mpole maadam taarifa anayo, endelea na maisha kama kawaida. Tabu utapata lakini ndio matokeo ya makosa yenu. Usikubali ushauri wa mashosti wengine watakulostisha. Na kama una uhakika siku hizi kuna DNA - kiboko yao. Pumba kule, mchele huku!
Ninao ila hawajui ukweli sija sema
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !
Nawaza sijui niende kwa mama yake...Mwambie akapime DNA ili awe na uhakika. Kama atabisha na maadam anajifanya hakuelewa matokeo km vile hakuzaliwa duniani wewe mwaga mboga. Masuala ya TGNP, TAMWA, ustawi wa jamii na kama anafanya kazi usawa wa wakuu wake au kama ni mshirika wa makampuni basi huko kwa mameneja wenzake kutaeleweka, wazazi wake pia usiwaache. Mwaga mboga hadi mchuzi ili akoswe pa kuchovya.
Nafurahi umerudi kwenye mstari.
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !
Niwakorofi ndo maana najaribu kumuweka sawa baba wa mtoto ili nisije kumuaribia maana baba yangu namjua mimi mwenyeweUtakosa mwana na maji ya moto ujue wakisikia kwa watu baki nao wataona ya nini kujihusisha na mambo usiyoelezwa???!!!!!
Tafuta audience nao au mwambie mama awaeleze!!!!!
Ninao ila hawajui ukweli sija sema
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !
AsanteHongera kwa kujifungua
Pia kuwa na nguvu
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !
Wasije waka mfungaWe naeee usiri gani huo?
Khaaaaa wewe aisee yaani unaanza kumuonesha anaza posiboz????!!!!