Sasa ulipo lowa hujaunganisha cha pili mbona wengine huwa tunaunganisha na cha pili pale pale, kiasi ya kutune music wa dushelele tu, afu unanza upya na speed mpya.
Next time bora ukatembelee sehemu za inyoga piga asali mpaa uwe na akiba ya asali ya kutosha kwenye mzinga wako, mana wanawake wanapenda uwalambishe asali sio kijiko kimoja tu afu unalalamika watakuona sooo.