bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
Pole sana..........
Huo uaminifu umeupotezea wapi?
Kuna binti mmoja nimesikia akisema ameuokota.
Babu...babu..babuuu! Haya bwana, ukiambiwa utoe ushahidi mahakamani?
Pole sana..........
Huo uaminifu umeupotezea wapi?
Kuna binti mmoja nimesikia akisema ameuokota.
kukiwa na uaminifu 100% then huo utakuwa sio ubinadamu...huo ni umalaika ndo mana binadamu tumeumbwa kusahau, kusamehe na kuendelea na maisha.