i cant log in my yahoo,msaada jamani!!

mchajikobe

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
2,652
1,238
Kunatatizo linanipata kwenye account yangu ya yahoo,kila nikitaka kulog in inaniletea msg yakuwa invalid username or password,lakini kila kitu kipo sawa nashangaa tatizo ni nini,yeyote mwenye suluhisho naomba msaada wake jamani!!
 
Bofya kwa chini walipoandika i have problem in log in.fuata procedure badili password.kumbuka kuna email ulitumia wakati unasajili email yako niya muhimu hapa itatokea.try goodlucky
 
Yahoo ni stress tupu nowadays.Hatamimi imekuwa ikinitokea sana tangu walipo-upgrade security.Taratibu hamia Gmail.
 
Kama alivyosema mwenzetu mmoja hapo juu, ukiangalia kwa chini ya hicho kibox cha kulogin utaona wameandika 'I cant access my account'. Bofya hapo, itakuja page inayokutaka ku tick your problem. Isikuchanganye, we piga Next. Kuna maswali mawili utatakiwa kujibu ktk pages zinazofuata. Ukiyajibu kwa usahihi itafika pahali unatakiwa ku change pasword. Nakushauri uweke pasword ndefu kidogo at least 8-10 digits. Nimeona pasword fupi imekuwa ikisumbua sana kwenye account za yahoo.

Note: Unaweza ukafika mwisho ukisubmit ikaleta error. Bofya try again. Na pia inaweza ikakurudisha mwanzo kabisa ulipoanzia, sio issue, ingiza cupture itakayoonekana kwenya kibox hapo chini then sign ni. Lkn inaweza kukataa tena, inabidi uendelee kujaribu tena na tena itafunguka tu.

Ikifanikiwa kufunguka kama unatumia computer/simu mwenyewe nakushauri usi sign out.
 
Kunatatizo linanipata kwenye account yangu ya yahoo,kila nikitaka kulog in inaniletea msg yakuwa invalid username or password,lakini kila kitu kipo sawa nashangaa tatizo ni nini,yeyote mwenye suluhisho naomba msaada wake jamani!!

Mkuu pole. Mimi vilevile nilipata tatizo kama lako. Nilijaribu kufuata ile message ya kubadili password lakini nayo ilizingua. Nikajaribu ku-search kwenye Google, nikapata majibu yafuatayo. Kwamba yahoo security servers wameblock IP address yangu, na sababu ni kwamba several yahoo IDs zimekua zikitumika kwenye the same IP address in a very short period, kwahiyo wamehisi ni HACKERS. Njia mbadala ni kubadili IP address. Kwahiyo hadi sasa nikitaka kuingia kwenye my yahoo mail, inabidi nibadili IP address.
 
Funga account anza mpya na domain oooops provider wa uhakika .... ..... ....
 
Back
Top Bottom