I am single men .....For others single boys!

I am single men .....For others single boys!

platozoom

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
9,548
Reaction score
11,517
I am single men.........hakunaga mapenzi yalee ya kugandana ni zama za kale.
Ukinitaka/nikikutaka tunamaliza leo leo tu.

Kuna huyu ana siku ya tatu hajaenda kazini kisa mapenzi.......Kisa mapenzi.

Ni sehemu ya maneno kutoka kwenye wimbo wa Lady Jaydee na Ali Kiba kwenye wimbo wa single boy.
Ama kweli mapenzi zama hizi kizungumkuti.

Ajabu ni kwamba unapendwa sana na baadhi ya watu niliokutana nao...........na hawafichi wanapenda sana "contents" yake. Miye sijui ni woga kutokana na kuumizwa na mapenzi ama ni fasheni mpya kwenye mahusiano.

Tujadili
 
Wana kupenda au wana kutamani?

Sisemi mimi, nimenukuu tu na kuvutiwa na maudhui ya wimbo huo. Ndio najaribu kutafakari kwenye hizi zama na hekaheka zake za kimapenzi
 
Huo wimbo unagusa sana, na wengi yameshawatokea ndio maana wanakubaliana na maneno ya huo wimbo kwamba siku hizi hakunaga mapenzi yaleee yakugandana ni zama za kale...
Unaweza ukampata mwanaume ukidhani ndio atakuja kuwa mumeo kumbe mwenzio anawaza tuu game asepe zake... Inauma sana aiseee...
 
I am single boy??

Nionavyo mimi,siku hizi watu wanaishi watakavyo wao na sio kama zamani eti jirani atanielewaje!!!
 
Huo wimbo unagusa sana, na wengi yameshawatokea ndio maana wanakubaliana na maneno ya huo wimbo kwamba siku hizi hakunaga mapenzi yaleee yakugandana ni zama za kale...
Unaweza ukampata mwanaume ukidhani ndio atakuja kuwa mumeo kumbe mwenzio anawaza tuu game asepe zake... Inauma sana aiseee...

Kwa hiyo ni uoga tu.......lakini changamoto si ni sehemu ya maisha?
 
I am single boy??

Nionavyo mimi,siku hizi watu wanaishi watakavyo wao na sio kama zamani eti jirani atanielewaje!!!

Hebu tuangalie kwa uhalisia wameamua kuishi hivyo kwa hiari ama ni uoga wa kuogopa maumivu mapya? Wewe vipi ...single grl or?!!
 
Back
Top Bottom