Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 97
- Thread starter
- #141
Yo Yo anahaha sana aiseee....unajua jamaa hajui kutema sumu....ndio maana hata hainishangazi kila anapo test zali anapigwa kibuyu tu....ahahahahaha
hahahaha!.akaona ngoja aanza na kusema mbona hujibu aone atajibiwa nini...kazi kweli kweli tatizo la yo yo ni kwamba hajatuliya na hajui nini anataka yeye anajaribu kila sehemu ndiyo maana anapigwa kibuyu....
cupcake hebu lets sit and watch what will happen next btwn Nee and YO YO...