Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,587
- 15,450
Amebanwa na ada.Eti wiki mbili tu ametangaza kuacha.
Ngoja January iishe tuone.
Amebanwa na ada.Eti wiki mbili tu ametangaza kuacha.
Ngoja January iishe tuone.
Tumuombee tu aache inaonekana kamari kama chezo wa punyeto kwenu wanaume
Amebanwa na ada.
Utamwombea wewe.Ila akimaliza miezi 3 itakuwa ameweza.
Tumwombee
Utamwombea wewe.
Mimi mwenyewe hapa nahitaji maombezi.
Au saidia watu wote duniani.Maombezi kuhusu nini?
Wakati unajiombea unaweza ukaongeza ile ya saidia na wengine wote wenye matatizo
Andika jina la kitabu hapa uwasaidie na wengine...watakitafuta kwa muda wao.esc343
Ushauri wangu ni
1. Accept the losses on ur mind.
2. Try to avoid judges or analysis on losses u got.
3. Let the past go and live the present.
Kama utapenda ni PM ntakupa kitabu kitakacho kusaidia.
ndo kwanza ana wiki mbiliemb mpe mdaHongera kaka.
How did you manage to stop?
Siku hizi hadi wazee wanabet