Mkuu picha yako tena?sampo ya bidhaa au picha yangu? mkuu
weka sample ya bidhaa unazouza....itapendeza zaidi kama sio picha za kudownload weka ulizopiga mwenyewesampo ya bidhaa au picha yangu? mkuu
Check na McRiyckeel ana miongozo yote wakati narekebisha pm yanguinagoma
We dada unanichanganya sanaUsiwajibu Hawa watakuchosha wanawivu sana utampata mtu tu
haha, inabidi tu niulize mkuu maana maoni ya watu kila mtu ana akili yake anyway sampo za bidhaa zangu hata kwenye baadhi ya post huwa napost hapahapa ila ili kuona kwa uzuri zaidi waweza kutembelea page yangu ya instagram @flamesinteriors au bonya link kama ita-work ➡️ https://instagram.com/flamesinteriors?igshid=YmMyMTA2M2Y=Mkuu picha yako tena?
We unataka udhamini wa bidhaa zako au wa kwako wewe?
Nakushauri pia uende kwenye maduka makubwa uongee nao wanaweza kuamini "kama ukiwashawishi" ukafanya nao mali kauli.
Narudia "kama wakikuamini"
Nilianza biashara ya kuuza oil za magari na pikipiki kwa uaminifu na supplier wakubwa kwa "uaminifu" mpaka sasa biashara hiyo ni mama kati ya
Acha wiziMbona usiweke picha ya sample mdogo wangu?
Nimekuibia niniAcha wizi