Kemilembe,
Jaribu kuandaa cv yako uwe nayo tayari. Watu kama wewe wanatafutwa. pia jaribu kusambaza cv kwenye makampuni mbali mbali, kwa maana pamoja na kuwa watu wanakuhitaji pia wewe lazima uwatafute na kuwaeleza una core competences.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.