Mu hali gani jamani???
Mimi nina tatizo moja,
yani nikianza game na
demu wangu, yani goal la kwanza
halichukui hata dk 5, nikiingia raundi ya pili na ya tatu story inakuwa ni hivyohivyo, je hili ni tatizo au nini jamani??
La kwanza huwa linasaliti lipo njiani...
Muhimu ni jerk-off kabla ya game.
Anzia mgegedo na la pili.
Control ur breathing ,
Vile vile unatakiwa ujue gia yako ya kukojolea....
Ikibidi hesabu kwa kichwa....1,2,3......20.
Kama 21 ndo gia yenyewe chomoa reset..to zero..
Vuta pumzi chomeka piga game.
Hakuna mwanaume ambaye yeye la kwanza halijawahi kumsaliti...
Unakula sana kiepe mtoto wa kiume??? Piga msosi mgumu then malizia siku ka mazoezi kisha uje ukutane na game sasa!! Binti lazima akugande....!!
Mimi nikajua magoli ya chelsea kwa arsenal.
ukiwa unapiga raund ya pili anza kuwaza wanaokudai...af utaona kazi yake...ukifka raund ya 3 anzisha mawazo mengine
mmmmh!!! we nawe!!!