Mkuu, Si umwambie tu kwamba hii gari kwa Tanzania ni kimeo?Technical data
- Fuel Delivery: Multi-Point Injection
- Transmission: 5-speed manual
- Engine size & layout: 999 cc, I4, 12 valves
- Peak Power: 40 kW (54.4 PS; 53.6 bhp)
- Peak Torque: 82 N·m (60 lb·ft)
- 0-60 mph (96 km/h): 14.6 s
- Top Speed: 160 km/h (99 mph)
- Fuel economy: 6.4 L/100 km (44 mpg[SUB]-imp[/SUB]; 37 mpg[SUB]-US[/SUB])
- Emissions: 151 g CO2/km, other emissions below
Ni vyema akaamua mwenyewe MkuuMkuu, Si umwambie tu kwamba hii gari kwa Tanzania ni kimeo?
habari wanajamii,kuna mtu
anauza gari lake aina ya Hyundai Amica model ya mwaka 2000 na imetembea
55000KM na anauza kwa 3Mil sasa nlikua nataka kujua kama kuna mtu
anajua matatizo au uzur wa hli gari,nashukuru Ndugu zangu
Weka picha mkuu