SIPRITE
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 499
- 65
Huyu Watson Mwakalila ni miongoni mwa wanaojiita wanaharakati ambaye anaiteteaCCM huku akiishia kuyaona makosa ya CHADEMA/UKAWA na kuyakosoa vikali na kushindwa kuyaona makosa ya CCM ikiwemo kutukana majukwaani.
Mimi naomba kuuliza ni nani wa CCM huyu.
Mimi naomba kuuliza ni nani wa CCM huyu.